
Monday Apr 07, 2025
WATENDAJI WA NENO - PT 2
Namna unvyopokea neno inaamua matokeo ya maisha yako.
Kwa wana wa Mungu hatupokea neno la Mungu passively (dichomai) bali TUNALICHUKUA (Lambano)
Wengi wamekaa passively wakisubiri Bwana atende wakati Bwana ameshawapa kila kitu kifaacho kwa ajili ya uzima na utaua (2 Petro 1:3). Kinatochakiwa ni wao KUCHUKUA kile kilichoko ndani yako katika Kristo.
Mat 21:22 Na yo yote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea (Lambano).
Neno mtapokea ni neno la Kiyunani LAMBANO likiimanisha kuchukua kwa ujasiri kama mtu anayechukua kile kilicho chake.
Mwana wa Mungu chukua maisha ya utukufu uliyoitiwa kuishi
Jifunze Zaidi kwenye somo hili
Comments (0)
To leave or reply to comments, please download free Podbean or
No Comments
To leave or reply to comments,
please download free Podbean App.