Thursday Apr 24, 2025

NGUVU YA FIKRA

NGUVU YA FIKRA

Fikra zako ni Muhimu kuliko Fikra za Mungu.

Fikra za Mungu zinakua na tija pale zinapofanyika kuwa fikra zako.

Fikra za Mungu juu ya Israel ilikua ni kuwapeleka kwenye nchi inayotiririka maziwa na asali lakini baadhi yao walijaa fikra za matango, matikiti na vitunguu swaumu vya Misri hivyo hawakuweza kuingia nchi ya Ahadi.

Fikra zao zilikinzana na Fikra za Mungu hivyo hawakuweza kufurahia mema aliyowawazia.

Fikra ni Mbegu, na Maisha yako ni Mavuno ya mbegu za fikra zilizopandwa kwenye moyo wako.

Jifunze Zaidi kwenye somo hili litalobadilisha Maisha yako milele

Comments (0)

To leave or reply to comments, please download free Podbean or

No Comments

Copyright 2025 All rights reserved.

Podcast Powered By Podbean

Version: 20241125