Episodes

2 days ago
2 days ago
ULIMI WAKO USUKANI WAKO
Maisha yako hayaendeshwi na pepo zinazoma maishani bali kwa maneno ya kinywa chako.
Unayopitia sio muhimu kama yale usemayo.
Ulimi kama usukani wa meli huipeleka kule nahodha atakapo angali pepo ni kali. (Yakobo 3:4)
Your Words Will Prevail Over the Winds of life.
Wewe kama nahodha wa maisha yako unaamua muelekeo wa maisha yako kwa maneno ya kinywa chako.
Usiache kuzungumza maneno sahihi kwasababu unaona maisha hayajabadilika baada ya kukiri kwa muda flani.
KUMBUKA: Ulimi ni usukani, usukani unaamua muelekeo na muelekeo unaamua hatima.
Ukiwa kwenye muelekeo sahihi ni suala la muda tu, utafika kwenye hatima sahihi
Beloved keep talking the Word

4 days ago

4 days ago

4 days ago

5 days ago

5 days ago
5 days ago
KANUNI YA MBEGU
Mbegu ni nini? Mbegu ni Mfumo unaohakikisha uzazi(uzalishaji) na uendelevu
Anayetawala mbegu anatawala matokeo. Maisha yako ya leo ni mavuno ya mbegu zilizopandwa jana.
Wagalatia 6:7 Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
Jambo/matokeo yoyote unayotamani kwenye Maisha ni mavuno ya mbegu sahihi. Hii inamaanisha ukiwa na mbegu sahihi unaweza kupata mavuno unayotamani
Ndoa nzuri ni mavunoNyumba yenye amani na furaha ni mavunoMali ni mavunoHeshima ni mavuno
Jifunze Zaidi kwa kusikilize somo hili

5 days ago